https://www.profitablegatecpm.com/d5y14gf9mv?key=ea205d3b54dc213bb609cceb0fea9a6c

Alichokisema Davido baada ya jina lake kutotajwa kwenye tuzo mwaka huu


September 23, 2016 jina la msanii Davido kutoka nchini Nigeria linazidi kuzungumzwa kila kona na safari hii sio kwa uzuri sana mtu wangu, maswali ni mengi juu ya ukimya wake kwenye kiwanda cha muziki. Hii imemfanya Davido kufunguka juu ya sababu za kupotea kwake.
Jina la Davido limekosekana kwenye vipengele vya tuzo nyingi zilizotolewa na kutajwa mwaka 2016, Ish hii imemfanya mmoja kati ya mashabiki wake kuandika kwenye Twitter juu ya nini kinachoendelea.

No comments

Powered by Blogger.