Meneja Sallam azungumzia Ali kiba kufanya show kama msanii wa kushitukiza kwenye show ya Diamond
International Meneja wa Diamond Platnumz ‘Sallam Sk’ ameongea na Sammisago
Kupitia ENews leo kuhusu Ali Kiba kufanya show kama msanii wa kushtukiza
kwenye jukwa moja na Diamond Platnumz. Sallam anasema “Sisi hatukuambiwa
kama Ali Kiba atakuwepo kwenye show kwa hio Ali Kiba alikuwa kwenye show
kama Suprise, nashukuru muziki wetu wa Tanzania unazidi kukua, tulichofanya
[…]
The post Meneja Sallam azungumzia Ali Kiba kufanya show kama msanii wa
kushtukiza kwenye jukwa moja na Diamond. appeared first on fredrickfrestus.com
Leave a Comment