Picha: Chris Brown alivyoingia mombasa. ...
Tunajua msanii kutoka Marekani Chris Brown ni mmoja ya wakali ambao wamepewa hati miliki ya stage ya tamasha la Mombasa Rocks Festival linalofanyika leo viwanja vya Golf Mombasa Kenya likiwa na wakali wengine kama Alikiba, Vanessa Mdee, Navio, Na wengineo.
Sasa mtue wangu nimefanikiwa kuinasa hii picha ya jinsi alivyowasili kwenye hoteli iitwayo English Point Marina iliyopo Mombasa nchini Kenya.

Leave a Comment