Label ya shine record label inayomilikiwa na Mr David Kennedy shine imemtambulisha Mr Paul alietamba na wimbo wake wa zaman uendao kwa jina la Zuwena, pia label ina wasanii wengine wanaofanya vizuri kama teacher allen aliekuwa mwalimu wa diamond platinumz na wengine
Hizo hapo picha za Mr Paul
Leave a Comment